*“Mimi ni mtu mcheshi, mnyenyekevu na napenda mazungumzo yenye maana. Natafuta mtu wa kuelewana, tujenge urafiki wa kweli kwanza kabla ya mengine. Sipendi maigizo, naiheshimu sana nafsi na watu.”* 👉 Napenda: muziki, kutazama sinema, mazungumzo ya kina, na utulivu. 👉 Kama wewe ni mkweli na huna haraka, karibu tuanze maz